FOOT CREAM ...
✅Hii ni cream special kwa miguu/nyayo ina cocoa butter,vitamin b5 maalum kulainisha nyayo zako.
✅Ina special intensive care..wale wenye nyayo ngumu..,rough na hata zilizopasuka...hii ni solution.👣
✅Utaipaka mara 2 kwa siku...asubuh na usiku ukiwa unalala...utaona tofauti...nyayo zako zitakua lainiii..hata ukimkanyaga mtu bahati mbaya humkwaruzi,huumizi,huparui🙈😎
✅Inauzwa 14,000 kwa mteja
Wasiliana nami uipate ya kwako kwa:-
Call/Sms/Whatsapp 0673646381
Tuzijali nyayo zetu👣
Jipatie yako leo.
Jumamosi, 18 Februari 2017
FOOT CREAM
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni